ROHO WAOVU
(Ona pia Roho Waovu, Ibada ya; Shetani; Tengenezo la Shetani; Uganga)
baadhi ya watu waliowafukuza roho waovu:
mtu aliyewafukuza roho waovu ijapokuwa hakumfuata Yesu: w08 3/15 31
wana wa Skewa: bt 162
Babiloni Mkubwa ni “makao ya roho waovu” (Ufu 18:2): re 261
“dhabihu kwa roho waovu” (Zb 106:36, 37; 1Ko 10:20): w06 7/15 13; w04 2/15 5
haifai kusimulia hadithi kuhusu roho waovu: lv 191, 194-195
kama kuna roho waovu (pepo): g98 4/8 18-19
kama wanasababisha ugonjwa: w02 8/1 7; w99 9/1 3-7
kujikinga na roho waovu: g 2/11 5-6; w09 5/1 19-21; g 7/08 11
“kushindana mweleka” na roho waovu (Efe 6:12): lv 59-60, 186; w04 9/15 11; wt 70-78
kutowaogopa: bh 105
kuwapinga roho waovu: w07 3/15 28-30; bh 103-105; rs 144-145
kuwasiliana na: w12 3/1 21-22
kuwekwa huru na mashambulio ya roho waovu: w06 4/15 31
maelezo: w12 7/1 17; w10 12/1 5-6; g 8/10 20-21; w09 1/1 12-13; w07 3/15 26-30; w06 1/15 6-7; bh 99-105; lr 57-61; ol 11
“majeshi ya roho waovu” (Efe 6:12): w11 9/1 7; w07 3/15 28; w04 9/15 10-11
mambo yaliyoonwa:
mashetani washindwa kumvunja moyo: yb07 234-235
maneno yanayoongozwa na roho waovu (Ufu 16:13, 14): w09 2/15 4; re 230
mashetani (daimoni): w96 1/15 28
“roho walio gerezani” (1Pe 3:19): rs 199
“roho waovu wenye umbo la mbuzi”: re 261
“sehemu ya tatu ya nyota za mbinguni” (Ufu 12:4): re 178-179
Tartaro: w09 1/1 12-13
uasi: w07 1/15 17-18
ukatili: w07 4/15 5
uvutano juu ya wanadamu: w12 1/1 30-31; w12 3/1 21-22; g 3/12 7; bh 100-101, 103; lr 59-61
ibada ya sanamu: w06 7/15 13
jeuri: w07 6/1 6; g02 8/8 16-17; w97 12/1 5
mambo ya ngono yaliyopotoka: w07 6/1 6
maono: rs 144
sauti: rs 141
uchawi: g 2/11 4-5
ushirikina: g 3/08 10-11; w02 8/1 5-6
zoea la kuwasiliana na pepo: lv 187-191, 194-195; g 7/08 10-11; jd 108-110
wakuu (watawala) (Da 10, 11): w11 9/1 7-8; dp 204-205
walijivika miili ya binadamu kabla ya Gharika: w10 4/15 20; w09 1/1 12-13; w08 6/1 5; w07 6/1 5; my 8; lr 57-59; w97 6/15 15
hadithi za kale zinazofanana na masimulizi ya Biblia: w07 6/1 6; w00 4/15 26, 28
“wana wa Mungu wa kweli” (Mwa 6:2, 4): w00 4/15 26, 28
walivyopata kuwapo: g 8/10 20; w09 1/1 12-13; w09 5/15 22; w07 3/15 26-27; re 178-179; bh 99-100; w02 10/15 7
wametupwa kutoka mbinguni: w03 12/15 28
wamewekewa mipaka fulani: w06 1/15 7; rs 143-144; w03 12/15 28
wanamtii Yehova kwa kulazimishwa: lv 10
wana wajibu wa kutoa hesabu mbele za Yehova: w96 9/15 10-11
“watawala wa ulimwengu” (Efe 6:12): w12 5/1 6-7; w02 7/1 9
watupwa katika abiso: re 288; w04 11/15 30-31
labda roho waovu ndio wanaozungumziwa (Isa 24:21, 22): ip-1 268-270
wataachiliwa pamoja na Shetani: re 294-295
Yesu aliwafukuza roho waovu:
binti ya mwanamke wa taifa la Sirofoinike: w10 10/15 4-5; w08 5/1 23
maoni ya Mafarisayo: w07 7/15 17-18; cf 113-114; w02 9/1 11-12
wanafunzi washindwa kumponya mvulana: w98 8/1 30
watu walioishi makaburini ambao walikuwa wamepagawa na pepo: w97 12/1 5
Yesu ‘aliwahubiria’ (1Pe 3:19): rs 199