FADHILI
(Ona pia Fadhili Zenye Upendo; Fadhili Zisizostahiliwa; Hisia-Mwenzi [Huruma]; Huruma; Rehema)
“iweni wenye fadhili” (Efe 4:32): w12 7/15 30
katika huduma ya shambani: w12 3/15 12-13; km 10/05 1; w04 4/15 21-22
kuepuka fadhili zisizofaa: w04 4/15 13
kumtendea mume au mke kwa fadhili: g 7/08 7
“kupenda fadhili” (Mik 6:8): w12 11/1 22; jd 105-108; w03 8/15 21-22; w97 8/1 19
kuwafundisha watoto wawe wenye fadhili: w07 9/1 22-25; lr 82-86; g99 7/22 29
kuwasaidia kwa fadhili wasiotenda kiroho: w03 2/1 16-17
kuwatendea Wakristo wenzi kwa fadhili: w09 9/15 10-11; w97 8/1 18-19
maelezo: w12 9/1 18-20; w04 4/15 12-22
mambo yaliyoonwa:
dada aongea kwa urafiki na mpita njia mwenye dharau: yb04 46
kasisi mpinzani: yb06 58-60
kijana aguswa moyo kwa sababu ndugu yake hakulipiza kisasi: yb10 63-64
kijana Mjapani: w12 9/1 18
Mashahidi wampelekea mpinzani aliyelazwa hospitalini mchuzi: yb07 235, 238-239
maua kwa ajili ya mwanamke mzee mwenye uchungu: w12 6/15 32
mfungwa wa kisiasa katika kambi ya kazi ngumu: yb08 131-132
mhariri asahihishwa kwa fadhili: w01 1/1 17
mlemavu na wazazi wake: yb09 45-46
mpinzani abadili maoni: yb06 49-50
mpinzani aliyempigia ndugu kelele atembelewa hospitalini: yb05 53
mtu aliyevutiwa na fundi Shahidi mwenye fadhili: yb06 62-63
muuzaji wa chakula avutiwa na mwenendo wa Wanabetheli: yb07 51
mwanamke aona jinsi Wakristo wanavyowatendea wanawake: g98 4/8 14
mwanamke mwenye kansa akubali kweli: yb07 64
mwanamke mwenye mtoto mdogo ashikwa na uchefuchefu baharini: km 2/01 1
mzee anayengoja kumwona daktari atendewa kwa fadhili: yb06 50
Shahidi amsaidia mwanamke mhamiaji kubeba mizigo: yb10 58-59
wanawake wazee wasaidiwa: yb08 52; km 10/05 1
wenzi wa ndoa watalii wahudhuria kusanyiko: w12 3/15 32
mifano:
Mashahidi wamsaidia msichana aliyeachwa afie barabarani: w07 2/15 11
mke amtunza mume mwenye kutusi: yb05 52-53
mwanamke aliyeketi kando ya barabara akilia: yb05 50
Shahidi amruhusu mwanamke mzee kumwona daktari kwanza: km 8/03 1; w02 1/15 19-20
Shahidi amsaida mjane mwenye watoto wadogo watano: w12 9/1 20
Shahidi amsaidia mtu kuingiza sofa iliyokuwa imekwama mlangoni: km 1/07 1
Shahidi atafsiri mazungumzo ya simu: km 1/07 1
Shahidi awasaidia waliojeruhiwa katika msiba wa barabarani: g04 8/8 13
Shahidi mwenye ugonjwa usiotibika atunzwa: w09 9/15 20
ukuta wa jirani mpinzani wajengwa upya: w09 6/15 9
viti kwenye kusanyiko vyaachiwa wengine: w09 2/15 21
waliopatwa na misiba kadhaa watunzwa: w04 12/15 22
mifano katika Biblia:
watu wa Malta (Mdo 28): bt 209-210; w02 5/15 19
Yehova: w12 9/1 18
Yesu: w09 9/15 9-10
neno la Kiebrania: w12 11/1 22; w97 8/1 19
sehemu ya tunda la roho ya Mungu: w11 4/15 24-26; w07 7/15 23-24
ufafanuzi: w12 9/1 18; w04 4/15 12
ni tofauti na fadhili zenye upendo: w10 8/15 21-22; w02 5/15 18-19
‘upendo ni wenye fadhili’ (1Ko 13:4): cl 303
wazee Wakristo wanapaswa kutenda kwa fadhili: w06 5/1 20