Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp16 Na. 6 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Mungu husikiliza sala zote?
  • MAMBO MENGINE TUNAYOJIFUNZA KATIKA BIBLIA
  • Je, unapaswa kusali ukiwa katika mkao fulani hususa?
  • Zawadi ya Sala
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Mkaribie Mungu Katika Sala
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
  • Je, Mungu Atajibu Sala Zangu?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Kumkaribia Mungu Katika Sala
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
wp16 Na. 6 uku. 16
Mwanamke akisali

Biblia Inasema Nini?

Je, Mungu husikiliza sala zote?

JE, ANAJIBU SALA ZA  . . .

  • Kila mtu

  • Baadhi ya watu

  • Hamjibu yeyote

BIBLIA INASEMA HIVI

“Yehova yuko karibu na wote . . . wanaomwitia yeye katika ukweli.”—Zaburi 145:18.

MAMBO MENGINE TUNAYOJIFUNZA KATIKA BIBLIA

  • Mungu hasikilizi sala za watu wasiomtii. (Isaya 1:15) Hata hivyo, wanaweza ‘kunyoosha mambo’ kati yao na Yehova kwa kubadili njia zao.—Isaya 1:18.

  • Ili Mungu ajibu, ni lazima sala ipatane na matakwa yake yanayotajwa katika Biblia. —1 Yohana 5:14.

Je, unapaswa kusali ukiwa katika mkao fulani hususa?

BAADHI YA WATU WANAAMINI kwamba wanapaswa kupiga magoti, kuinamisha kichwa, au kuweka mikono pamoja wanaposali. Wewe una maoni gani?

BIBLIA INASEMA HIVI

Mungu alisikiliza watu waliosali wakiwa ‘wameketi,’ ‘wamesimama,’ ‘wamelala kifudifudi,’ au ‘kupiga magoti.’ (1 Mambo ya Nyakati 17:16; 2 Mambo ya Nyakati 30:27; Ezra 10:1; Matendo 9:40) Mungu hahitaji tuwe katika mkao fulani hususa tunaposali.

NI NINI KINGINE TUNACHOJIFUNZA KATIKA BIBLIA?

  • Mungu huwasikiliza watu wanyenyekevu. —Zaburi 138:6.

  • Unaweza kusali kwa lugha yoyote au hata kimyakimya.—2 Mambo ya Nyakati 6:32, 33; Nehemia 2:1-6.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 17 ya kitabu hiki, Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia, kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki