Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Novemba uku. 7
  • “Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia”—2Fa 9:8

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia”—2Fa 9:8
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Malkia Mwovu Aadhibiwa
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • A6-A Chati: Manabii na Wafalme wa Yuda na Israeli (Sehemu ya 1)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Yezebeli—Malkia Mbaya Sana
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Jinsi ya Kutafuta Maandiko Katika Biblia Yako
    Habari Zaidi
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Novemba uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia”​—2Fa 9:8

“Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia.” Mfuatano wa wakati wa nyumba ya Ahabu.

UFALME WA YUDA

Yehoshafati anatawala

m. 911 K.W.K.: Yehoramu (mwana wa Yehoshafati; mume wa Athalia, binti ya Ahabu na Yezebeli) anaanza kutawala akiwa mfalme peke yake

m. 906 K.W.K.: Ahazia (mjukuu wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mfalme

m. 905 K.W.K.: Athalia anawaua wazao wote wa kifalme na kujinyakulia ufalme. Yehoashi, mjukuu wake ndiye tu anayeokolewa na kufichwa na Kuhani Mkuu Yehoyada.​—2Fa 11:1-3

898 K.W.K.: Yehoashi anakuwa mfalme. Malkia Athalia anauawa na Kuhani Mkuu Yehoyada.​—2Fa 11:4-16

UFALME WA ISRAELI

m. 920 K.W.K.: Ahazia (mwana wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mfalme

m. 917 K.W.K.: Yehoramu (mwana wa Ahabu na Yezebeli) anakuwa mfalme

m. 905 K.W.K.: Yehu anamuua Mfalme Yehoramu wa Israeli na ndugu zake, mama ya Yehoramu (Yezebeli), na Mfalme Ahazia wa Yuda na ndugu zake.​—2Fa 9:14–10:17

m. 904 K.W.K.: Yehu anaanza kutawala akiwa mfalme

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki