Hesabu 1:4, 5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 “Muchukue mwanaume mumoja katika kila kabila; kila mumoja wao anapaswa kuwa kichwa cha jamaa yake ya upande wa baba.+ 5 Haya ni majina ya wanaume wenye watasimama pamoja na ninyi: katika kabila la Rubeni, Elisuri+ mwana wa Shedeuri;
4 “Muchukue mwanaume mumoja katika kila kabila; kila mumoja wao anapaswa kuwa kichwa cha jamaa yake ya upande wa baba.+ 5 Haya ni majina ya wanaume wenye watasimama pamoja na ninyi: katika kabila la Rubeni, Elisuri+ mwana wa Shedeuri;