Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Wakafika kwa Balaamu na kumuambia: “Balaki mwana wa Sipori amesema, ‘Tafazali, usiruhusu kitu chochote kikuzuie kuja kwangu, 17 kwa maana nitakuonyesha heshima kubwa na nitafanya kila kitu chenye utaniambia nifanye. Kwa hiyo, kuja, tafazali, na ulaani watu hawa kwa ajili yangu.’”

  • Hesabu 24:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kisha Balaki akamukasirikia sana Balaamu. Balaki akapiga mikono kwa zarau na kumuambia Balaamu: “Nilikuita kusudi ulaani maadui wangu,+ lakini sasa kuliko kuwalaani umewabariki mara hizi tatu (3). 11 Sasa uende kwako mara moja. Nilitaka kukuonyesha heshima kubwa,+ lakini angalia! Yehova amekufanya usipate heshima.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine