Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 14:1-7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Mupumbavu* anasema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Matendo yao yamepotoka, na shuguli zao zinachukiza;

      Hakuna mwenye kutenda mema.+

       2 Lakini Yehova anaangalia wana wa binadamu akiwa mbinguni

      Ili aone kama kuko mutu yeyote mwenye kuwa na ufahamu, kama kuko mutu yeyote mwenye kumutafuta Yehova.+

       3 Wote wameenda pembeni;+

      Wote wamepotoka katika njia ileile.

      Hakuna mwenye kutenda mema,

      Hakuna hata mumoja.

       4 Je, hakuna hata mumoja kati ya wakosaji mwenye anaelewa?

      Wanameza watu wangu kama vile wanakula mukate.

      Hawamuitie Yehova.

       5 Lakini watajaa woga mukubwa,+

      Kwa maana Yehova iko* pamoja na kizazi cha wenye haki.

       6 Ninyi wakosaji munajaribu kuvuruga mipango ya mutu wa hali ya chini,

      Lakini Yehova ni kimbilio lake.+

       7 Aa! kama tu wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

      Wakati Yehova atakusanya tena watu wake wenye walikamatwa mateka,

      Yakobo ashangilie, Israeli afurahi.

  • Waroma 3:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 kama vile imeandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mumoja;+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine