Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Kila kitu ni bure (1-11)

        • Dunia inadumu milele (4)

        • Mizunguko ya asili inaendelea (5-7)

        • Hakuna kitu kipya chini ya jua (9)

      • Hekima ya wanadamu iko na mipaka (12-18)

        • Kufuatilia upepo (14)

Muhubiri 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye kukusanya watu; mwenye kuita watu kwenye mukusanyiko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:1, 22
  • +1 Fal. 2:12; 2Nya 9:30

Muhubiri 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:5; Rom. 8:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 13

Muhubiri 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:11; Mt 16:26; Yoh 6:27

Muhubiri 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “inasimama.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:69; 104:5; 119:90

Muhubiri 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “linaangaza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 8:22; Zab 19:6

Muhubiri 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mito midogo ya kipindi cha baridi; Mito midogo yenye kutokea wakati fulani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:8, 10
  • +Yob 36:27, 28; Isa 55:10; Amo 5:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 52-53

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2009,

    uku. 15-17

Muhubiri 1:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 13

Muhubiri 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 8:22; Mhu. 1:4

Muhubiri 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:16; 9:5; Isa 40:6

Muhubiri 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:42; Mhu. 1:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 112

Muhubiri 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:29, 30
  • +Mhu. 8:16

Muhubiri 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:5, 6; Mhu. 2:11, 18, 26; Lu 12:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 21

Muhubiri 1:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

Muhubiri 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:9
  • +1 Fal. 3:28; 4:29-31; 2Nya 1:10-12

Muhubiri 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “upumbavu mwingi sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:2, 3, 12; 7:25

Muhubiri 1:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:15; 12:12

Maandiko ingine

Muh. 1:11 Fal. 8:1, 22
Muh. 1:11 Fal. 2:12; 2Nya 9:30
Muh. 1:2Zab 39:5; Rom. 8:20
Muh. 1:3Mhu. 2:11; Mt 16:26; Yoh 6:27
Muh. 1:4Zab 78:69; 104:5; 119:90
Muh. 1:5Mwa 8:22; Zab 19:6
Muh. 1:7Yob 38:8, 10
Muh. 1:7Yob 36:27, 28; Isa 55:10; Amo 5:8
Muh. 1:9Mwa 8:22; Mhu. 1:4
Muh. 1:11Mhu. 2:16; 9:5; Isa 40:6
Muh. 1:121 Fal. 11:42; Mhu. 1:1
Muh. 1:131 Fal. 4:29, 30
Muh. 1:13Mhu. 8:16
Muh. 1:14Zab 39:5, 6; Mhu. 2:11, 18, 26; Lu 12:15
Muh. 1:16Mhu. 2:9
Muh. 1:161 Fal. 3:28; 4:29-31; 2Nya 1:10-12
Muh. 1:17Mhu. 2:2, 3, 12; 7:25
Muh. 1:18Mhu. 2:15; 12:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 1:1-18

Muhubiri

1 Maneno ya mukutanishaji,*+ mwana wa Daudi, mufalme katika Yerusalemu.+

 2 “Yote ni bure* kabisa!” ni vile mukutanishaji anasema,

“Yote ni bure kabisa! Kila kitu ni bure!”+

 3 Mutu anapata faida gani kwa kazi zake zote za nguvu

Zenye anafanya kwa jasho chini ya jua?+

 4 Kizazi kinapita, na kizazi kinakuja,

Lakini dunia inadumu* milele.+

 5 Jua linatokea,* na jua linashuka;

Na linarudia haraka mahali kwenye litatokea tena.+

 6 Upepo unaenda kusini na kuzunguka mupaka kaskazini;

Unaendelea kuzunguka tena na tena; upepo unaendelea kufanya mizunguko yake.

 7 Mito yote ya kidogo* inatiririka kuingia katika bahari, lakini bahari haijae.+

Mahali mito ya kidogo inatoka, ni kule inarudia ili kutiririka tena.+

 8 Mambo yote yanachokesha;

Hakuna mwenye anaweza hata kueleza juu ya hilo.

Jicho halishibake kuona;

Na sikio halijae kwa sababu ya kusikia.

 9 Mambo yenye yamekwisha kuwa, ndiyo yatakuwa tena,

Na mambo yenye yamekwisha kufanywa, ndiyo yatafanywa tena;

Hakuna kitu kipya chini ya jua.+

10 Je, kuko kitu chochote chenye mutu anaweza kusema, “Angalia hiki⁠—ni kipya”?

Kimekuwa tangu zamani sana;

Kimekuwa mbele ya wakati wetu.

11 Hakuna mwenye anakumbuka watu wa zamani;

Wala hakuna mwenye atakumbuka wenye watakuja;

Wala wale wenye watakuja kisha hawatawakumbuka.+

12 Mimi, mukutanishaji, nimekuwa mufalme juu ya Israeli katika Yerusalemu.+ 13 Niliazimia katika moyo wangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo lenye limefanywa chini ya mbingu+⁠—​kazi zenye kutaabisha zenye Mungu amepatia wana wa binadamu wafanye.

14 Niliona kazi zote zenye zilifanywa chini ya jua,

Na angalia! mambo yote yalikuwa bure,* na kufuatilia upepo.+

15 Kitu chenye kukunjama hakiwezi kunyooshwa,

Na kitu chenye kukosekana hakiwezi kuhesabiwa.

16 Kisha nikasema katika moyo wangu: “Angalia! Nimepata hekima nyingi, kuliko mutu yeyote mwenye alinitangulia Yerusalemu,+ na moyo wangu umepata hekima nyingi sana na ujuzi.”+ 17 Nilijikaza sana katika moyo wangu ili nijue hekima na kujua wazimu* na kujua ujinga,+ na hayo pia ni kufuatilia upepo.

18 Kwa maana hekima nyingi inaleta hali ya kuvunjika moyo sana,

Kwa hiyo kila mutu mwenye anaongeza ujuzi anaongeza maumivu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine