Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lfb uku. 218-219
  • Utangulizi wa Sehemu ya 14

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 14
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yohana Anapokea Ufunuo
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
Ona Habari Zaidi
Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
lfb uku. 218-219
Mutume Paulo na Timoteo mu mashua

Utangulizi wa Sehemu ya 14

Wakristo wa wakati wa mitume walitangaza habari njema ya Ufalme mupaka sehemu ya mbali sana ya dunia. Yesu aliwaambia fasi kwenye walipaswa kuhubiri, na kupitia muujiza, akawapatia uwezo wa kufundisha watu mu luga zao wenyewe. Yehova aliwapatia uhodari na nguvu ya kupambana na mateso makali sana.

Yesu alimuonyesha mutume Yohana maono ya utukufu wa Yehova. Katika maono ingine, Yohana aliona namna Ufalme wa mbinguni unapata ushindi juu ya Shetani na kumaliza utawala wa Shetani milele. Yohana aliona Yesu iko anatawala pamoja na wenzake 144000. Tena, aliona dunia yote inakuwa paradiso. Na aliona wanadamu wote wanamuabudu Yehova katika amani na umoja.

MAMBO YA KUJIFUNZA

  • Tunamutukuza Yehova wakati tunafanya kazi yenye ametupatia

  • Ujitoe kwa Yehova, na umuonyeshe kama unataka Ufalme wake uongoze maisha yako

  • Umufanye Yehova kuwa Rafiki yako wa sana

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine