Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w12 15/1 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 15/1 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/01/2012

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

Gazeti La Funzo

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 27/2–4/3/2012

Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu

UKURASA WA 4 • NYIMBO: 113, 116

TAREHE 5-11/3/2012

Mufano wa Mitume wa Yesu wa Kuendelea Kukesha Unatufundisha Nini?

UKURASA WA 9 • NYIMBO: 125, 43

TAREHE 12-18/3/2012

Mambo Tunayojifunza Kutokana na ‘Picha ya ile Kweli’

UKURASA WA 16 • NYIMBO: 107, 13

TAREHE 19-25/3/2012

Tumutolee Yehova Zabihu Zetu kwa Nafsi Yote

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 66, 56

TAREHE 26/3–1/4/2012

Ukuhani wa Kifalme Utakaowaletea Wanadamu Wote Baraka

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 60, 102

KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA

HABARI YA 1 UKURASA WA 4-8

Habari hii inaonyesha jinsi kwa muda wa miaka mingi, Wakristo waaminifu wamejiacha waongozwe na Neno la Mungu. Habari hii inakazia pia andiko la mwaka wa 2012.

HABARI YA 2 UKURASA WA 9-13

Habari hii inazungumuzia mambo matatu ambayo tunaweza kujifunza kutoka kwa mitume na Wakristo wengine wa wakati wao, kuhusu jinsi ya kuendelea kukesha. Funzo hilo linapaswa kutuchochea zaidi tuazimie kutoa ushahidi kamili kuhusu Ufalme wa Mungu.

HABARI YA 3, NA YA 4 UKURASA WA 16-25

Sheria ya Musa iliwaomba Waisraeli wamutolee Yehova zabihu nyakati fulanifulani. Wakristo hawafungwi na Sheria hiyo. Hata hivyo, kanuni zinazopatikana katika Sheria hiyo zinatusaidia tuelewe kwamba Yehova anatazamia sisi watumishi wake leo tuonyeshe shukrani kwa sababu ya mambo ambayo ametufanyia. Habari hizi zitatufasiria mambo hayo.

HABARI YA 5 UKURASA WA 26-30

Jambo ambalo wanadamu wanahitaji sana ni kupatanishwa na Mungu. Habari hii inazungumuzia jinsi ukuhani wa kifalme utakavyowezesha kutimizwa kwa upatanisho huo, na itafasiria jinsi unaweza kufaidika.

HABARI ZINGINE

3 Gazeti la Funzo, Mambo Yamebadilika!

14 ‘Namna Gani Nitaweza Kuhubiri?’

15 Kufanya Wakati wa Funzo Uwe Wenye Kufurahisha Zaidi na Wenye Faida Zaidi

31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu

JALADA: Kwenye soko katika San Cristóbal de las Casas, Mexique. Mapainia, mume na muke ambao walijifunza luga ya Tzotzil, wanahubiria familia moja ya Wameksiko

MEXIQUE

HESABU YA WATU

108,782,804

HESABU YA WAHUBIRI

710,454

KAZI YA KUTAFSIRI

Luga za kienyeji 30

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine