Habari Zilizo Ndani
15/07/2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 02-08/09/2013
“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 128, 101
TAREHE 09-15/09/2013
“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 30, 109
Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache
UKURASA WA 15 • NYIMBO: 108, 117
TAREHE 23-29/09/2013
‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’
UKURASA WA 20 • NYIMBO: 107, 116
HABARI ZA KUJIFUNZA
▪ “Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”
▪ “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
Habari hizo zinazungumuzia sehemu fulani za kitabu cha Mathayo sura ya 24 na 25 na zinatoa mafasirio mengi mapya ili kutusaidia tuelewe wakati wa utimizo wa matukio yaliyo katika unabii wa Yesu kuhusu siku za mwisho na mufano wake kuhusu ngano na magugu. Habari hizo zinazungumuzia pia namna gani kila mumoja wetu anaweza kufaidika na mafasirio hayo mapya.
▪ Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache
▪ ‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’
Yesu ametumia njia ileile ili kulisha watu wengi kimuujiza na kulisha wafuasi wake kiroho, ni kusema, kulisha watu wengi kupitia wachache. Habari ya kwanza inazungumuzia wale wachache ambao alitumia ili kulisha wafuasi wake watiwa-mafuta wa kwanza-kwanza. Habari ya pili inazungumuzia ulizo hili la maana sana: Wale wachache ambao Kristo anatumia ili kutulisha leo ni nani?
HABARI ZINGINE
26 Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza
JALADA: Mahubiri ya nyumba kwa nyumba katika Bukimba, Runda, huko Rwanda
RWANDA
Shahidi mumoja kati ya Mashahidi wane katika inchi hiyo ni painia, na kila muhubiri mwenye bidii anahubiri saa 20 hivi kila mwezi
MASHAHIDI
22 734
MAFUNZO YA BIBLIA
52 123
WALIOHUZURIA UKUMBUSHO KATIKA 2012
69 582