Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/7 uku. 1-2
  • Habari Zilizo Ndani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Habari Zilizo Ndani
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa Vidogo
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZA KUJIFUNZA
  • HABARI ZINGINE
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/7 uku. 1-2

Habari Zilizo Ndani

15/07/2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.

HABARI ZA KUJIFUNZA

TAREHE 02-08/09/2013

“Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 128, 101

TAREHE 09-15/09/2013

“Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

UKURASA WA 9 • NYIMBO: 30, 109

Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

UKURASA WA 15 • NYIMBO: 108, 117

TAREHE 23-29/09/2013

‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’

UKURASA WA 20 • NYIMBO: 107, 116

HABARI ZA KUJIFUNZA

▪ “Tuambie, Mambo Haya Yatakuwa Wakati Gani?”

▪ “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”

Habari hizo zinazungumuzia sehemu fulani za kitabu cha Mathayo sura ya 24 na 25 na zinatoa mafasirio mengi mapya ili kutusaidia tuelewe wakati wa utimizo wa matukio yaliyo katika unabii wa Yesu kuhusu siku za mwisho na mufano wake kuhusu ngano na magugu. Habari hizo zinazungumuzia pia namna gani kila mumoja wetu anaweza kufaidika na mafasirio hayo mapya.

▪ Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache

▪ ‘Ni Nani kwa Kweli Mutumwa Mwaminifu na Mwenye Busara?’

Yesu ametumia njia ileile ili kulisha watu wengi kimuujiza na kulisha wafuasi wake kiroho, ni kusema, kulisha watu wengi kupitia wachache. Habari ya kwanza inazungumuzia wale wachache ambao alitumia ili kulisha wafuasi wake watiwa-mafuta wa kwanza-kwanza. Habari ya pili inazungumuzia ulizo hili la maana sana: Wale wachache ambao Kristo anatumia ili kutulisha leo ni nani?

HABARI ZINGINE

26 Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza

27 Tulikuwa Tayari Kumutumikia Yehova Kila Mahali

32 “Hii Ni Picha Nzuri Kabisa!”

JALADA: Mahubiri ya nyumba kwa nyumba katika Bukimba, Runda, huko Rwanda

RWANDA

Shahidi mumoja kati ya Mashahidi wane katika inchi hiyo ni painia, na kila muhubiri mwenye bidii anahubiri saa 20 hivi kila mwezi

MASHAHIDI

22 734

MAFUNZO YA BIBLIA

52 123

WALIOHUZURIA UKUMBUSHO KATIKA 2012

69 582

TAREHE 16-22/09/2013

TAREHE 23-29/09/2013

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine