Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp16 na. 1 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ni nini kinatufikia wakati tunakufa?
  • Watu waliokufa wanaweza kuishi tena?
  • Mutu Anakuwa Katika Hali Gani Anapokufa?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Ni Nini Hutokea Wakati Wa Kifo?
    Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Ulizo la 2: Nitakapokufa, Nitaenda Wapi?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Tunaenda Wapi Wakati Tunakufa?
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
wp16 na. 1 uku. 16

BIBLIA INASEMA NINI?

Ni nini kinatufikia wakati tunakufa?

WATU FULANI WANAAMINI kama wakati mutu anakufa, sehemu fulani ya mwili wake inaenda kuishi mahali pengine, lakini wengine wanaamini kama kifo ni mwisho wa mambo yote. Wewe unaamini nini?

MAMBO BIBLIA INASEMA

‘Wafu, hawajue lolote kamwe.’ (Mhubiri 9:5) Wakati tunakufa, hatuko tena.

MAMBO MENGINE YENYE TUNAJIFUNZA KATIKA BIBLIA

  • Adamu, mwanaume wa kwanza, alirudia katika mavumbi wakati alikufa. (Mwanzo 2:7; 3:19) Kama yeye, wale wote wenye wanakufa wanarudia katika mavumbi.—Mhubiri 3:19, 20.

  • Wakati mutu anakufa, anaondolewa hatia ya zambi zake, ao anasamehewa. (Waroma 6:7) Hakuna malipizi mengine juu ya zambi kisha mutu kufa.

Watu waliokufa wanaweza kuishi tena?

UNAWEZA KUJIBU NINI?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Pengine

MAMBO BIBLIA INASEMA

‘Kutakuwa ufufuo.’ —Matendo 24:15.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Mara nyingi, Biblia inalinganisha kifo na usingizi. (Yohana 11:11-14) Mungu anaweza kuamusha mutu mwenye amekufa, kama vile tunaweza kuamusha mutu mwenye kulala usingizi.—Ayubu 14:13-15.

  • Biblia inazungumuzia watu mbalimbali wenye walifufuliwa, na hilo linatupatia sababu ya muzuri ya kuamini kama watu waliokufa watafufuliwa.—1 Wafalme 17:17-24; Luka 7:11-17; Yohana 11: 39-44.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 6 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org/swc

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine