Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Malaika wako kabisa? Biblia inasema hivi:
‘Mubarikini Yehova, enyi malaika zake, mulio na uwezo katika nguvu, munaolitenda neno lake, kwa kuisikiliza sauti ya neno lake.’—Zaburi 103:20.
Munara wa Mulinzi huu unaonyesha mambo Biblia inasema kuhusu malaika na mambo wanatimiza leo katika maisha yetu.