Matangazo
◼ Vichapo vya kutumia mnamo Aprili: Amkeni! na Mnara wa Mlinzi. Tutafanya bidii ya pekee ili kuangusha magazeti. Tutaweza pia kutolea kama toleo kitabu Unaweza Kuishi Milele Katika Paradisio Duniani. Mei: Tutatolea Traduction du monde nouveau na kitabu Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? Juni: Tutatolea kitabu kipya, chenye kichwa: Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele na tutafanya bidii ya pekee ili kurudi tena kuona watu waliokikubali; kusudi letu litakuwa la kuanzisha mafunzo ya Biblia. AGIZO: Makutaniko yanayohitaji bidhaa vinavyotajwa hapo juu kwa ajili ya kampeni yatavionyesha kwenye Ombi lao lijalo la vichapo S-14.
◼ Akina ndugu wanaosafiri katika nchi ya kigeni katika miezi ijayo ya kiangazi na ambao wanatamani kuhudhuria mojawapo ya makusanyiko ya wilaya ya 1996-7 “Wajumbe wa Amani ya Kimungu” katika nchi hiyo wataweza kuandikia moja kwa moja tawi linaloshughulikia kazi katika nchi hiyo. Watapata anwani za matawi kwenye ukurasa wa mwisho, iwe wa Kitabu-Mwaka; wala wa Traduction du monde nouveau.
◼ Vichapo vipya vinavyopatikana:
Kiarabu: Trakti Na. 13, 14, 15, 16, 19, 20, 21, 22; broshua Kuishi Milele kwa Furaha Duniani! (le), Serikali Itakayoleta Paradiso (bp), Je! Kweli Mungu Anatujali (dg), Mashahidi wa Yehova—Wanafanya Mapenzi ya Mungu kwa Umoja Ulimwenguni Pote (je), Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa (we); vitabu Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu (sh), Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu? (gm). Swahili: Broshua Kuishi Milele Katika Furaha Duniani (le), Mashahidi wa Yehova na Elimu (ed); Trakti Na. 14 et 15; Monokutuba: Kitabu Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani (Spe); Français: Vitabu-Mwaka 1977 na 1988 kwa ajili ya maktaba ya makutaniko na ndugu