Mikutano ya Utumishi ya Juni
Juma Toka Juni 1
Wimbo 10
Dak. 8: Matangazo ya kwenu. Matangazo yaliyochaguliwa ya Huduma Yetu ya Ufalme. Habari za Kitheokrasi.
Dak. 15: “Roho ya Yehova Ni Pamoja Nasi.” Kwa maulizo na majibu. Wakati mtakapochunguza fungu 3, tieni ndani mambo yanayoambatana nalo kutoka Kitabu-Mwaka 1998.
Dak. 22: “Chagua Makala kwa Kulenga Kupendezwa kwa Watu.” Toa kifupi cha mambo makuu ya makala. Fasiria kwamba hata namba za zamani zaidi ambazo zingali katika hali njema zinaweza pia kutolewa kwa njia hiyo. Alika wahubiri kueleza ni makala gani waliyotolea kwa matokeo mazuri. Fanyeni onyesho la utoaji katika fungu 7.
Wimbo 212 na sala ya mwisho.
Juma Toka Juni 8
Wimbo 197
Dak. 5: Matangazo. Hali ya akaunti.
Dak. 15: Majibu kwa Maulizo Yenu. Kwa maulizo na majibu. Mzee mmoja anatoa kifupi cha mawazo ya kitabu Huduma Yetu, uku. 131 maf. 1, 2. Patanisha na hali ya kutaniko lenu.
Dak. 25: “ ‘Njia ya Mungu Huongoza Kwenye Uzima’—Makusanyiko ya Wilaya na ya Kimataifa 1998.” (maf. 1-17) Kwa maulizo na majibu. Someni mafungu 11, 12. Kazieni umaana ambao Maandiko huweka juu ya jambo la kuwa na mavazi na mwenendo wa Kikristo vyenye kiasi na kuangalia vizuri watoto wetu.
Wimbo 48 na sala ya mwisho.
Juma Toka Juni 15
Wimbo 141
Dak. 8: Matangazo. Tangaza mipango ya pekee iliyochukuliwa kwa ajili ya utumishi wa mahubiri Juni 30.
Dak. 15: “Je! Unao ‘Mwiba Katika Mwili’?” Kwa maulizo na majibu. Toeni maelezo juu ya “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” katika Mnara wa Mlinzi wa Novemba 15, 1987, ukurasa 29.
Dak. 22: “ ‘Njia ya Mungu Huongoza Kwenye Uzima’—Makusanyiko ya Wilaya na ya Kimataifa 1998.” (Mafungu 18-22) Kwa maulizo na majibu. Someni fungu 18 na andiko lililotajwa. Weka mkazo juu ya uhitaji wa utaratibu na wema kwa wengine, zaidi kuhusiana na mahali pa kukaa. Kwa kumaliza, toa kifupi cha vile Vikumbusho.
Wimbo 139 na sala ya mwisho.
Juma Toka Juni 22
Wimbo 137
Dak. 10: Matangazo.
Dak. 15: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 20: Kwa Nini Ninathamini Mikutano ya Kutaniko. Mzee mmoja anaongoza mazungumzo pamoja na kikundi cha watu wanaohudhuria mikutano kikawaida na ambao wanawakilisha vikundi vyote vya kutaniko, mkiwa ndani labda mume na mke waliyoowana, mtu mzee-mzee, na tineja. Wanaeleza sababu kwa nini wanahudhuria mikutano: ushirika mzuri, ufundishaji wa kimungu, na mashauri bora, jambo linalowasaidia kupambana na matatizo ya kila siku na kubaki wenye nguvu kiroho. Maelezo yao yanakazia namna kila mmoja wetu anavyobarikiwa kwa kuhudhuria mikutano kikawaida.
Wimbo 222 na sala ya mwisho.
Juma Toka Juni 29
Kutaniko litatayarisha programu yalo lenyewe kulingana na mahitaji yalo.