Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/10 uku. 1
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 11 Mwezi wa 1

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 11 Mwezi wa 1
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 11 MWEZI WA 1
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 1/10 uku. 1

Programu ya Juma Tokea Tarehe 11 Mwezi wa 1

JUMA TOKEA TAREHE 11 MWEZI WA 1

Wimbo 126 (201)

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura 15 fu. 10-17, kisanduku kwenye uku. 177

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24

Na. 1: Yoshua 24:1-13

Na. 2: Je, Mungu Hajali Wala Hana Huruma?

Na. 3: Je, Biblia Inaonyesha Kwamba Nafsi Inaendelea Kuishi Baada ya Kufa kwa Mwili? (rs uku. 154 fu. 1-5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 1 (97)

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Fundisha Wanafunzi Wako wa Biblia Namna ya Kujifunza. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 28-31, habari iliyo chini ya kichwa kidogo “Jinsi ya Kujifunza.” Anza na onyesho, katika onyesho hilo mhubiri anayezoea kazi ya kuhubiri anatumia habari iliyo kwenye ukurasa wa 7 wa kitabu Biblia Inafundisha ili kumwonyesha mwanafunzi mpya wa Biblia jinsi ya kujitayarisha kwa ajili ya funzo.

Dak. 15: “Je, Ninastahili Kuhubiri?” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha kuzungumzia fungu la 4, uliza mhubiri mmoja maulizo kama vile: Ni matatizo gani ambayo umeshinda ili uwe na matokeo mazuri katika kazi ya kuhubiri? Ulisaidiwa katika njia gani ili uwe mhubiri mwenye bidii na mwenye kuzaa matunda?

Wimbo 97 (43)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine