Programu ya Juma Tokea Tarehe 11 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 11 MWEZI WA 1
Wimbo 126 (201)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 15 fu. 10-17, kisanduku kwenye uku. 177
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24
Na. 1: Yoshua 24:1-13
Na. 2: Je, Mungu Hajali Wala Hana Huruma?
Na. 3: Je, Biblia Inaonyesha Kwamba Nafsi Inaendelea Kuishi Baada ya Kufa kwa Mwili? (rs uku. 154 fu. 1-5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 1 (97)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Fundisha Wanafunzi Wako wa Biblia Namna ya Kujifunza. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 28-31, habari iliyo chini ya kichwa kidogo “Jinsi ya Kujifunza.” Anza na onyesho, katika onyesho hilo mhubiri anayezoea kazi ya kuhubiri anatumia habari iliyo kwenye ukurasa wa 7 wa kitabu Biblia Inafundisha ili kumwonyesha mwanafunzi mpya wa Biblia jinsi ya kujitayarisha kwa ajili ya funzo.
Dak. 15: “Je, Ninastahili Kuhubiri?” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha kuzungumzia fungu la 4, uliza mhubiri mmoja maulizo kama vile: Ni matatizo gani ambayo umeshinda ili uwe na matokeo mazuri katika kazi ya kuhubiri? Ulisaidiwa katika njia gani ili uwe mhubiri mwenye bidii na mwenye kuzaa matunda?
Wimbo 97 (43)