Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 2/10 uku. 3
  • Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 2/10 uku. 3

Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi

Maulizo ya kujikumbusha yanayofuata yatatumiwa kwenye Shule ya Huduma ya Kitheokrasi katika juma tokea tarehe 22 mwezi wa 2, 2010. Kwa dakika 20, mwangalizi wa shule ataongoza kujikumbusha kunakotegemea habari zilizozungumziwa tokea tarehe 4 mwezi wa 1 mpaka tarehe 22 mwezi wa 2, 2010.

1. Ni mambo gani ambayo labda yalifanya Waisraeli wachelewe ili kuriti Inchi ya Ahadi, na tunaweza kujifunza nini kutokana na hilo? (Yos. 18:2, 3) [it-1-F uku. 934 fu. 1]

2. Ni mambo gani yaliyomsukuma Yoshua aseme kwa uhakika maneno yanayopatikana kwenye Yoshua 24:14, 15, na hilo linaweza kutusaidia namna gani? [w08 5/15 uku. 17-18 fu. 4-6]

3. Namna gani waabudu wa Baali na ibada yao vilikuwa mitego na vishawishi kwa Waisraeli? (Amu. 2:3) [w08 2/15 uku. 27 fu. 2-3]

4. Tunaweza kujifunza nini kutokana na uhodari wa Ehudi wa kutumia upanga? (Amu. 3:16, 21) [w97 3/15 uku. 31 fu. 4]

5. Tunapata kitia moyo gani tunapojifunza jinsi Yehova alivyookoa Gideoni na wanaume wake 300? (Amu. 7:19-22) [w05 7/15 uku. 16 fu. 8]

6. Ni katika njia gani nafsi ya Yehova ilikosa “subira kwa sababu ya taabu ya Waisraeli”? (Amu. 10:16) [cl uku. 254-255 fu. 10-11]

7. Je, Yeftha alikuwa akifikiria zabihu ya kibinadamu alipofanya naziri yake? (Amu. 11:30, 31) [w05 1/15 uku. 26 fu. 1]

8. Je, kwa kweli nguvu za Samsoni zilikuwa katika nywele zake? (Amu. 16:18-20) [w05 3/15 uku. 28 fu. 5-6]

9. Kuelewa matendo ya kushangaza ya Samsoni yanayozungumziwa kwenye Waamuzi 16:3 kunaweza kutusaidia namna gani? [w04 10/15 uku. 15-16 fu. 7-8]

10. Kuhusiana na nafsi ya kibinadamu, ni jambo gani tunaloweza kujifunza kutokana na maneno yanayopatikana kwenye kitabu cha Waamuzi 16:30? [w90 9/1 uku. 5 fu. 5; sp uku. 13-14]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine