Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 1 MWEZI WA 3
Wimbo 119 (220)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 1 fu. 1-7
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ruthu 1-4
Na. 1: Ruthu 3:1-13
Na. 2: Jinsi Kuwaonyesha Wengine Rehema Kunavyotuletea Faida (Mt. 5:7)
Na. 3: Azabu ya Zambi Ni Nini? (rs uku. 159 fu. 1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 42 (116)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kuanzisha Mafunzo ya Biblia. Julisha wahubiri siku ya mwezi ambayo imepangwa ili kuanzisha mafunzo ya Biblia. Zungumzia mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo, na uliza mhubiri mmoja aeleze namna ya kuanzisha funzo ambayo ameona kuwa yenye matokeo katika eneo lenu. Afanye onyesho kuhusu namna moja ya kuanzisha mazungumzo kati ya mapendekezo yaliyo kwenye ukurasa wa 12 wa kitabu Kutoa Sababu, kichwa kidogo “Funzo la Biblia la Nyumbani.”
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Umaana wa Kuzungumza kwa Usadikisho Katika Mahubiri. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 194-196.
Wimbo 32 (10)