Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TEREHE 22 MWEZI WA 2
Wimbo 64 (191)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 17 fu. 11-22
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 19-21
Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 20 (28)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa 3. Uliza wahubiri wawili; uwaombe waeleze habari zenye kufaa zilizo katika kitabu cha kutolea watu katika mwezi wa 3 na namna mbalimbali za kukitolea watu ambazo wameona kuwa zenye matokeo katika eneo lenu. Omba kila mmoja wao afanye onyesho kuhusu jinsi ya kutolea mutu kitabu hicho ao acheze upya jambo lililoonwa linaloonyesha jinsi ya kukitumia ili kuanzisha funzo la Biblia.
Dak. 10: Kufikiri na Watu kwa Njia Nzuri Kunawafanya Wasikilize. Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 251 mpaka ukurasa wa 253, fungu la 2.
Dak. 10: Kuwaelekeza Wenye Kupendezwa Kwenye Tengenezo la Yehova. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, mafungu matatu yaliyo chini ya kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 99. Omba wasikilizaji waeleze njia ambazo wametumia ili kuwaelekeza wenye kupendezwa kwenye tengenezo la Yehova. Uliza mhubiri ambaye amefaidika kwa sababu mwalimu wake wa Biblia alimwelekeza kwenye tengenezo la Yehova.
Wimbo 122 (127)