Programu ya Juma Tokea Tarehe 15 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 15 MWEZI WA 3
Wimbo 101 (192)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 1 fu. 16-20, kisanduku kwenye uku. 13
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 5-9
Na. 1: 1 Samweli 6:1-9
Na. 2: Namna Gani Tunaweza Kujilinda na Shetani na Mashetani Wake?
Na. 3: Mfano wa Tajiri na Lazaro Unamaanisha Nini? (rs uku. 160 fu. 1-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 44 (211)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tumia Vizuri Kitabu cha mwaka 2010, ikiwa kimepatikana. Soma ‘Barua Kutoka Baraza Linaloongoza’ na zungumzia mambo makuu ya barua hiyo. Kisha soma barua ya tarehe 15 mwezi wa 12, 2009 kutoka biro ya tawi. Zungumzia ripoti zenye kufurahisha zilizo katika barua hiyo. Malizia kwa kutia wote moyo wamalize kusoma Kitabu cha Mwaka 2009 na kuanza kusoma kile cha mwaka wa 2010 wakati watakipokea.
Dak. 15: “Ile Kazi ya Maana Zaidi.” Mazungumzo ya maulizo na majibu. Kisha kuzungumzia fungu la 3, uliza mhubiri ambaye amepata pendeleo la kuongoza funzo la Biblia lenye kufanya maendeleo. Ni mabadiliko gani ambayo mwanafunzi wa Biblia alilazimika kufanya? Hilo lilikuwa na matokeo gani kwa mhubiri?
Wimbo 66 (1)