Programu ya Juma Tokea Tarehe 19 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 19 MWEZI WA 4
Wimbo 6 (88)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 3 fu. 10-19
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 23-25
Na. 1: 1 Samweli 23:1-12
Na. 2: Tunapaswa Kujua Nini Kuhusu Maazimisho ya Ista na Mwaka Mupya? (rs uku. 279 fu. 1–uku. 280 fu. 1)
Na. 3: Kwa Nini Kuwa na Roho ya Kutoa Kunaleta Baraka (Met. 11:25)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 127 (166)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: “Wengine Wanajifunza Nini Wanapokutazama?” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Dak. 15: Kisanduku cha Maulizo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Musome na kuzungumzia maandiko yanayoonyeshwa katika habari.
Wimbo 43 (174)