Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 5
Wimbo 131 (74)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 4 fu. 11-18
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 4-8
Na. 1: 2 Samweli 6:1-13
Na. 2: Tunajua Nini Kuhusu Siku ya Wapendanao, Siku ya Mama, na Sherehe za Kutukuza Taifa? (rs uku. 281 fu. 4–uku. 282 fu. 4)
Na. 3: Kwa Nini Kuwa na Pupa Ni Kama Kuabudu Sanamu (Efe. 5:5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 25 (200)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tolea Watu wa Eneo Msaada Unaofaa. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 188, fungu la 4, mpaka mwisho wa ukurasa wa 189. Uliza maulizo machache mutu fulani aliyefanya maendeleo kwa sababu wengine walipendezwa naye.
Dak. 10: Jumba la Ufalme Lililo Safi Linamletea Yehova Utukufu. Hotuba itakayotolewa na mzee. Yehova ni Mungu mtakatifu, kwa hiyo watu wake wanapaswa kuhangaikia sana usafi wa kimwili. (Kut. 30:17-21; 40:30-32) Tunamletea Yehova utukufu tunapotengeneza na kulinda nafasi yetu ya ibada ikiwa safi. (1 Pet. 2:12) Uliza maulizo ndugu anayesimamia mipango ya kusafisha na kutengeneza Jumba lenu la Ufalme. Eleza mambo yaliyoonwa katika eneo lenu ao yaliyo katika vichapo yanayoonyesha jinsi hali njema ya Jumba la Ufalme ilisaidia kutolea watu ushahidi. Tia wote moyo washiriki katika usafishaji wa Jumba la Ufalme.
Dak. 10: “Hii Habari Njema Itahubiriwa!” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 118 (155)