Programu ya Juma Tokea Tarehe 24 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 24 MWEZI WA 5
Wimbo 37 (46)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 5 fu. 1-8
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 13-15
Na. 1: 2 Samweli 13:23-33
Na. 2: Je, Tunaweza Kumwabudu Mungu wa Kweli Kupitia Sanamu? (rs uku. 261 fu. 5–uku. 262 fu. 1)
Na. 3: Kwa Nini Hatupaswi Kuutumia Ulimwengu kwa Ukamili (1 Kor. 7:31)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 128 (199)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 6. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, zungumzia habari zilizo katika magazeti. Kisha chagua habari mbili ao tatu, na omba wasikilizaji waonyeshe maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapotolea watu magazeti hayo. Fanyeni onyesho kuhusu jinsi ya kutolea watu kila gazeti.
Dak. 20: “Unaweza Kuwa Painia Kabisa!” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 85 (221)