Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 6
Wimbo 48 (55)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 5 fu. 16-20, kisanduku kwenye uku. 55
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 19-21
Na. 1: 2 Samweli 19:11-23
Na. 2: Mungu Anazionaje Sanamu Zinazoabudiwa? (rs uku. 263 fu.1–4)
Na. 3: Njia Ambazo Ibilisi Anatumia Ili Kupofusha Watu Wasijue Kweli (2 Kor. 4:4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 60 (70)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Hubiri kwa Njia Inayoeleweka. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 226-229.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuhubiri Maeneo Yenye Luga Mbalimbali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 107, fungu la 2-3. Uliza mwangalizi wa utumishi maulizo machache. Je, kuna makutaniko yanayotumia luga ya kigeni ambayo yanahubiri katika eneo lenu? Ni mipango gani iliyofanywa ili kuungana mkono na makutaniko hayo ili kuhubiria watu wote bila kukutana katika eneo kwa saa ileile?
Wimbo 75 (19)