Programu ya Juma Tokea Tarehe 27 mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 27 MWEZI WA 9
Wimbo 92
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 11 fu. 1-7
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 23-25
Na. 1: 2 Wafalme 23:1-7
Na. 2: Mashahidi wa Yehova Wanaamini Mambo Gani Yanayowatofautisha na Dini Nyingine? (rs uku. 188 fu. 1–uku. 189 fu. 5)
Na. 3: Ni Katika Njia Gani Wakristo wa Kweli Wanaacha Nuru yao Iangaze? (Mt. 5:14-16)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 93
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tujitayarishe Kutolea Watu Mnara wa Mlinzi na Amkeni! ya Mwezi wa 10. Mazungumzo. Zungumzia kwa kifupi habari zilizo katika magazeti kwa dakika moja ao mbili. Kisha uchague habari mbili ao tatu, na omba wasikilizaji wapendekeze maulizo na maandiko yanayoweza kutumiwa ili kutolea watu magazeti hayo. Mufanye onyesho kuhusu jinsi ya kutoa magazeti hayo.
Dak. 15: “Je, Utaanzisha Funzo la Biblia Katika Mwezi wa 10?” Maulizo na majibu. Tia ndani onyesho moja ao maonyesho mawili.
Wimbo 101