Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 1
Wimbo 77 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 16 fu. 7-14 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezra 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Ezra 3:1-9 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wayahudi kwa Ujumla Hawakumkubali Yesu Kuwa Ndiye Masihi?—rs uku. 429 fu. 2–uku. 430 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Roho Inamrudilia Mungu?—Mhu. 12:7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 116
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Umaana wa Kurudilia Mambo Tunapohubiri. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 206-207. Mufanye onyesho fupi kuhusu jinsi ya kutumia jambo moja ao mambo mawili kutokana na habari hiyo.
Dak. 20: “Je, Unajua Maamuzi Yako?” Maulizo na majibu. Utumie habari iliyo katika fungu la 1 katika utangulizi na ile iliyo katika fungu la 3 ili kumalizia. Itolewe na mzee.
Wimbo 7 na Sala