Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 2
Wimbo 25 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 17 fu. 10-15 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 5-8 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 6:1-13 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kuhusiana na Ukaribishaji wa Lidia, Gayo, na Filemoni? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maneno ya Tomasi Katika Yohana 20:28 Yanaonyesha Kwamba kwa Kweli Yesu Ni Mungu?—rs uku. 431 fu. 5–uku. 432 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 92
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Wewe Ni Mwenye Kutumia Zawadi Yako Katika Huduma? Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 75, fungu la 4, mpaka ukurasa wa 76, fungu la 3.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Sema Mambo Yaliyo Sahihi Unapohubiri na Kufundisha. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 223, fungu la 1-5.
Wimbo 13 na Sala