Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 3
Wimbo 102 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 18 fu. 19-23, kisanduku kwenye uku. 191 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Esta 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Esta 7:1-10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Kuwa Yesu Anaabudiwa, Je, Hilo Linaonyesha Kwamba Yeye Ni Mungu?—(rs uku. 433 fu. 4–uku. 434 fu. 1) (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Yesu Ndiye Wakili Mkuu na Mkamilishaji wa Imani Yetu?—Ebr. 12:2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 10
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Fundisha kwa Njia Yenye Kusadikisha. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 255-257. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Dak. 10: Tumia Trakti Vizuri. Mazungumzo. Taja trakti fulani zinazopatikana katika stoki ya kutaniko. Onyesha ni wakati gani trakti hizo zinaweza kutumiwa na kwa nini ni zenye kuvutia. Omba wasikilizaji waeleze jinsi wameweza kutumia trakti vizuri. Mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 35 na Sala