Programu ya Juma Tokea Tarehe 2 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 2 MWEZI WA 5
Wimbo 99 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 3 fu. 4-11 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 38-42 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 40:1-24 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Faida za Kuwa na Tabia-Pole na Uvumilivu (Dak. 5)
Na. 3: Mtu Akisema: “Je, Umemkubali Yesu Kuwa Mwokozi wa Maisha Yako?”—rs uku. 438 fu. 3-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 82
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia utoaji unaopendekezwa ulio kwenye ukurasa huu, mufanye onyesho kuhusu jinsi ya kuanzisha funzo Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 5. Tia wote moyo kushiriki.
Dak. 15: Panda Mbegu Zako, Usiache Mkono Wako Upumuzike. (Mhu. 11:6) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011, ukurasa wa 170, fungu la 2, mpaka ukurasa wa 173, fungu la 4. Kisha kuzungumzia kila jambo lililoonwa, omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza kutokana na habari hiyo.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 5. Mazungumzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, zungumzia habari zilizo katika magazeti. Kisha chagua habari mbili ao tatu, na omba wasikilizaji waonyeshe maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapotolea watu magazeti hayo. Fanyeni onyesho kuhusu jinsi ya kutolea watu kila gazeti.
Wimbo 91 na Sala