Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 5
Wimbo 39 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4, kisanduku kwenye uku. 33 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 19-25 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 23:1–24:10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Wayahudi Wote Watageuzwa Wamwamini Kristo?—rs uku. 411 fu. 3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Waroma 8:21 Litatimia Namna Gani na Wakati Gani? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 78
Dak. 10: Matangazo. “Jinsi ya Kutumia Fomu Tafadhali Fuatia Upendezi (S-43).” Mazungumzo.
Dak. 10: Mambo Matatu ya Kufikiria ili Kuanzisha Mazungumzo kwa Njia Yenye Matokeo Mazuri. Hotuba yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 9, fungu la 1. Kisha kuzungumzia habari, mufanye maonyesho mawili kuhusu jinsi ya kuanzisha mazungumzo munapotolea watu kichapo kilichopangwa kutolea watu katika mwezi wa 6.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kutumia Yale Mapendekezo? Mazungumzo. Kupitia hotuba, zungumzia kwa kifupi mambo yaliyo katika habari hizi zilizotolewa hivi karibuni katika Huduma Yetu ya Ufalme: “Uitumie Kila Wakati Unapopata Nafasi” na “Mfululizo wa Habari Mpya Ili Kuanzisha Mafunzo ya Biblia” (km 12/10) na pia “Msaada kwa Familia” (km 1/11). Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu jinsi ambavyo wametumia mapendekezo yaliyo katika habari hizo na matokeo ambayo wamepata.
Wimbo 56 na Sala