Programu ya Juma Tokea Tarehe 30 mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 30 MWEZI WA 5
Wimbo 33 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 fu. 5-12 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 26-33 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 31:9-24 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Mifano ya Biblia ya Unyenyekevu wa Kweli (Dak. 5)
Na. 3: Je, Wayahudi Wanapaswa Kumwamini Yesu ili Waokolewe?—rs uku. 412 fu. 1–2 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 38
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia utoaji wenye kupendekezwa ulio kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 6. Tia wote moyo washiriki.
Dak. 15: Jinsi ya Kufanya Utafiti. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 33-38. Mufanye pia onyesho fupi la mutu mwenye kujisemesha. Katika onyesho hilo mhubiri anatumia vichapo tunavyotumia ili kutafuta habari, anataka kupata jibu la ulizo ambalo mutu fulani aliuliza katika mahubiri.
Dak. 10: Tujitayarishe Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 6. Mazungumzo. Kwa dakika moja ao mbili, zungumzia habari fulani zilizo katika magazeti ya sasa. Kisha, chagua habari mbili ao tatu, na uombe wasikilizaji wapendekeze maulizo na maandiko ambayo wanaweza kutumia wanapotolea watu magazeti hayo. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 113 na Sala