Programu ya Juma Tokea Tarehe 6 mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 6 MWEZI WA 6
Wimbo 68 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 4 fu. 13-20, kisanduku kwenye uku. 34 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 34-37 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 35:1-18 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Mambo Yanayotendeka Katika Israeli Leo Ni Utimizo wa Unabii wa Biblia?—rs uku. 412 fu. 3–uku. 413 fu. 3 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Andiko la Luka 12:13-15, 21? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 126
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Maulizo ili Kufundisha Vizuri—Sehemu ya 2. Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 237, fungu la 3, mpaka ukurasa wa 238, fungu la 5. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo yatakayoongozwa na mwangalizi wa utumishi. Pongeza ndugu na dada wa kutaniko kwa kazi waliyofanya katika kipindi cha Ukumbusho, na uonyeshe mambo yaliyotimizwa. Omba wasikilizaji waeleze mambo waliyojionea walipofanya kazi ya upainia msaidizi katika mwezi wa 3, wa 4, na wa 5.
Wimbo 83 na Sala