Programu ya Juma Tokea Tarehe 20 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 20 MWEZI WA 6
Wimbo 63 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 5 fu. 9-16, visanduku kwenye uku. 41-42 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 45-51 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 48:1–49:9 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Ufalme wa Mungu Ni Serikali Halisi?—rs uku. 311 fu. 5–uku. 312 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Kuwa Uzima wa Milele Ni Zawadi, kwa Nini Tunapaswa Kuufanyia Kazi Wokovu Wetu Wenyewe?—Rom. 6:23; Flp. 2:12 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 88
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Vichapo vya Kutolea Watu Katika Mwezi wa 7. Mazungumzo. Zungumzia kwa kifupi mambo ya pekee yaliyo katika magazeti ya kutolea watu katika mwezi wa 7, kisha mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 10: Kutoka Katika Kinywa cha Watoto. (Mt. 21:15, 16) Mazungumzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011, ukurasa wa 53, fungu la 3, na ukurasa wa 58, fungu la 1-2. Kisha kuzungumzia kila jambo lililoonwa, omba wasikilizaji waseme nini waliyojifunza kutokana na habari hiyo.
Dak. 10: “Jinsi ya Kuhubiri kwa Matokeo Barabarani.” Maulizo na majibu, yataongozwa na mwangalizi wa utumishi. Patanisha habari hii na hali za eneo lenu. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Wimbo 107 na Sala