Programu ya Juma Tokea Tarehe Mwezi 4 wa 7
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 7
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 6 fu. 1-8, kisanduku kwenye uku. 44 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 60-68 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 62:1–63:5 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Namna Gani Tunahusika Katika Utimizo wa Hagai 2:7? (Dak. 5)
Na. 3: Watawala wa Ufalme Huo Ni Nani?—rs uku. 312 fu. 2-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 59
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mutu Akisema—‘Nina Dini Yangu Mwenyewe.’ Mazungumzo yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 18, fungu la 1, mpaka ukurasa wa 19, fungu la 3. Omba wasikilizaji waeleze majibu mengine ambayo wametumia na wakapata matokeo mazuri. Mufanye onyesho kuhusu pendekezo moja ao mapendekezo mawili.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Musome andiko la Luka 9:57-62 na Luka 14:25-33. Muzungumzie jinsi maandiko hayo yanavyoweza kutusaidia katika kazi ya kuhubiri.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 124 na Sala