Programu ya Juma Tokea Tarehe 8 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 8 MWEZI WA 8
Wimbo 44 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 7 fu. 14-18, visanduku kwenye uku. 57-58 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 92-101 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 94:1-23 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utatolea Watu Wote Chakula na Kuondoa Magonjwa?—rs 315 fu. 1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Ujilinde na Nguvu za Udanganyifu za Utajiri—Mt. 13:22 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 94
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Onyesha Kwamba Unapendezwa na Msikilizaji. Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 186-187. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayozungumziwa katika habari.
Dak. 10: Mambo Yaliyoonwa Katika Kuanzisha Mafunzo ya Biblia: Mazungumzo. Itatolewa na mwangalizi wa utumishi. Shukuru wahubiri kwa kuunga mkono mpango wa kuanzisha mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi. Omba wasikilizaji waeleze mambo fulani ambayo wamefurahia. Jambo moja ao mambo mawili yaliyoonwa na yenye kuvutia yanaweza kuchezwa upya.
Dak. 10: “Jina la Mungu Litakaswe.” Maulizo na majibu. Tangaza tarehe ya mkusanyiko wa mzunguko ikiwa inajulikana.
Wimbo 112 na Sala