Programu ya Juma Tokea Tarehe 15 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 15 MWEZI WA 8
Wimbo 39 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 8 fu. 1-7, visanduku kwenye uku. 61-62 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 102-105 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 105:1-24 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Hatupaswi Kutazama Mambo Tuliyoacha ili Kumtumikia Yehova—Luka 9:62 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utatolea Watu Wote Nyumba, Kazi, na Usalama—rs uku. 315 fu. 4-7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 85
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Saidia Wale Wenye Kupendezwa Wafanye Maendeleo. Hotuba yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 187, fungu la 6, mpaka ukurasa wa 188, fungu la 3.
Dak. 20: “Video: Mashahidi wa Yehova—Tengenezo Linalohubiri Habari Njema.” (Les Témoins de Jéhovah : organisés pour proclamer la bonne nouvelle) Maulizo na majibu. Kuhusu utangulizi, tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na kuhusu umalizio, tumia ile iliyo katika fungu la mwisho.
Wimbo 47 na Sala