Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 22 MWEZI WA 8
Wimbo 54 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 8 fu. 8-16 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 106-109 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 109:1-20 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utaeneza Uadilifu na Haki?—rs uku. 316 fu. 1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Tufuate Mfano wa Yehova na Yesu Katika Kuonyesha Adabu Nzuri (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 132
Dak. 10: Matangazo. “Mapenzi ya Mungu Yatendeke.” Maulizo na majibu. Tangaza tarehe ya mkusanyiko wa pekee wa siku moja ikiwa inajulikana.
Dak. 25: “Je, Unaweza ‘Kuvuka Uingie Makedonia’?” Maulizo na majibu. Uliza maulizo mhubiri aliyehamia katika inchi ya kigeni ili kueneza habari njema, ikiwa anapatikana.
Wimbo 95 na Sala