Programu ya Juma Tokea Tarehe 21 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 21 MWEZI WA 11
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 13 fu. 1-7, visanduku kwenye uku. 100, 103 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mhubiri 7-12 (Dak. 10)
Na. 1: Mhubiri 9:13–10:11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Upendo Hauna Wivu—1 Kor. 13:4 (Dak. 5.)
Na. 3: Namna Gani Alama ya Siku za Mwisho Inahusu Wakristo wa Kweli?—rs uku. 288 fu. 4–uku. 289 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 83
Dak. 10: Matangazo. Kisanduku cha Maulizo. Hotuba.
Dak. 15: Waliteswa kwa Sababu ya Kutoa Ushahidi. (Luka 21:12, 13) Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011, ukurasa wa 153, fungu la 1; ukurasa wa 179, fungu la 1-2; na ukurasa wa 203, fungu la 2, mupaka mwisho wa ukurasa wa 204. Omba wasikilizaji waseme nini waliyojifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 10: Vichapo vya Kutolea Watu Katika Mwezi wa 12. Mazungumuzo. Zungumuzia habari zilizo katika kichapo cha kutolea watu katika mwezi wa 12, na mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Wimbo 35 na Sala