Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 11/11 uku. 4
  • Njia Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Njia Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Biblia Inasema Nini Juu ya Misiba ya Asili?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Misiba ya Asili—Kwa Nini Imeongezeka Sana?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 11/11 uku. 4

Njia Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Jinsi ya Kuanzisha Mafunzo ya Biblia Siku ya Posho ya Kwanza Katika Mwezi wa 12

“Ni kweli kwamba kila mutu ana lazima ya marafiki, sivyo? Ungetaka rafiki yako awe na sifa gani? [Acha mutu ajibu.] Ona yale ambayo gazeti hili linasema kuhusu sababu ya kuchagua marafiki wetu kwa uangalifu.” Umwonyeshe mutu Mnara wa Mlinzi wa tarehe 1 mwezi wa 12, na musome na kuzungumuzia habari ya kichwa kidogo cha kwanza kwenye ukurasa wa 16. Soma andiko moja hivi kati ya maandiko yanayotajwa. Umutolee mutu magazeti, na ufanye mupango wa kumurudilia ili kuzungumuzia jibu la ulizo linalofuata.

Mnara wa Mlinzi 01/12/11

“Je, umekwisha kujiuliza kwa nini kuna misiba mingi siku zetu? [Acha mutu ajibu.] Jambo la ajabu ni kwamba Biblia ilitabiri kwamba kutakuwa misiba mingi siku zetu. [Soma Mathayo 24:7, 8.] Gazeti hili linajibu maulizo haya: Kwa nini kuna misiba mingi leo? Je, ni malipizi kutoka kwa Mungu? Linaonyesha pia sababu zinazotufanya tuamini kwamba Mungu atamaliza misiba yote hivi karibuni.”

Amkeni! Mwezi wa 12

Soma 2 Timotheo 3:16. Kisha sema hivi: “Watu fulani wanakubali kwamba Biblia iliongozwa na roho ya Mungu, wengine hawakubali hivyo. Wewe unafikiri nini? [Acha mutu ajibu.] Hata ikiwa watu wana maoni tofauti kuhusu wazo hilo, kwa kawaida watu wanakubali kwamba hakuna kitabu kingine kilichoshambuliwa sana kama Biblia. Gazeti hili linaeleza jinsi watu walivyofanya yote wawezayo ili kuiharibu Biblia na kukataza watu wasiisome. Linaeleza pia kwa nini Biblia imeshinda upinzani huo.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine