Programu ya Juma Tokea Tarehe 9 Mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 9 MWEZI WA 1
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 fu. 8-12, kisanduku kwenye uku. 118 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 29-33 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 30:15-26 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Wanadamu Waliumbwa Waishi Muda Mufupi Tu na Kisha Wafe?—rs uku. 329 fu. 3–uku. 330 fu. 5 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Watu Wasio Wakamilifu Wanaweza Kulitakasa Jina la Yehova?—Mt. 6:9 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 61
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tuhubirie Wale Wanaosema Luga ya Kigeni. Hotuba yenye kutegemea ukurasa wa 2 wa kijitabu Habari Njema kwa Watu wa Mataifa Yote. Mufanye onyesho kuhusu jinsi ya kutumia kijitabu hicho.
Dak. 10: Mambo Yanayohakikisha Kwamba Biblia Iliongozwa na Roho ya Mungu. Mazungumuzo yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 34, fungu la 4, mupaka ukurasa wa 38, fungu la 3.
Dak. 10: “Tutumie Nguvu Zetu kwa Hekima Tunapohubiri.” Maulizo na majibu. Unapozungumuzia fungu la 2, uliza mwangalizi wa utumishi maulizo machache kuhusu mahali na wakati watu wanaweza kupatikana katika eneo lenu siku mbalimbali za juma.
Wimbo 115 na Sala