Programu ya Juma Tokea Tarehe 5 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 5 MWEZI WA 3
Wimbo 103 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 17 fu. 15-19 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 3:14-25 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tunajivunia Pendeleo la Kuitwa kwa Jina la Yehova—Isa. 43:12 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inasema Nini Kuhusu Talaka na Kufunga Ndoa Tena?—rs uku. 229 fu. 2–uku. 230 fu. 2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 94
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Faidika na Kijitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2012. Zungumuzia maneno ya utangulizi ya kijitabu hicho katika hotuba fupi. Kisha, omba wasikilizaji waeleze wakati ambao wamepanga ili kuchunguza andiko la siku na jinsi ambavyo wamefaidika. Malizia kwa kuzungumuzia andiko la mwaka wa 2012.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 3. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani kutoka katika magazeti zinazoweza kuwapendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni! na, ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari ingine moja ya Mnara wa Mlinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu namna kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 75 na Sala