Programu ya Juma Tokea Tarehe 19 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 19 MWEZI WA 3
Wimbo 11 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 fu. 6-11 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 8-11 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 10:17–11:5 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ukumbusho Una Maana Gani? —rs uku. 336 fu. 6–uku. 337 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Mukate na Divai Vinavyotumiwa Kwenye Ukumbusho Vinafananisha Nini? —rs uku. 337 fu. 3–uku. 338 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 21
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Mathayo 6:19-34. Muzungumuzie namna mistari hiyo inavyoweza kutusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri.
Dak. 15: “Usiogope Kuhubiria Watu Nafasi za Biashara.” Maulizo na majibu. Omba muhubiri fulani anayepata matokeo mazuri anapohubiria watu nafasi za biashara afasirie namna anavyofanya.
Wimbo 108 na Sala