Programu ya Juma Tokea Tarehe 26 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 26 MWEZI WA 3
Wimbo 92 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 fu. 12-18 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 12-16 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 13:1-14 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Nani Wanaopaswa Kula Mukate na Kunywa Divai?—rs uku. 338 fu. 3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Ukumbusho Unapaswa Kufanywa Mara Ngapi kwa Mwaka, na Wakati Gani? —rs uku. 339 fu. 3–uku. 340 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 124
Dak. 5: Matangazo. Julisha kutaniko ni maeneo ngapi ambamo hamujatolea watu mwaliko wa Ukumbusho.
Dak. 10: Musisahau Ukaribishaji-Wageni. (Ebr. 13:1, 2) Hotuba itakayotolewa na muzee. Zungumuzia tena mipango ya kutaniko lenu kwa ajili ya Ukumbusho. Onyesha namna mbalimbali za kufanya ili kila muhubiri aonyeshe roho ya ukaribishaji-wageni kuelekea wageni watakaohuzuria Ukumbusho na kuelekea wahubiri wasiotenda. Mufanye onyesho fupi lenye sehemu mbili. Katika sehemu ya kwanza, muhubiri anamukaribisha mutu mbele ya programu; mutu huyo alipata mwaliko wa Ukumbusho wakati wa kampanye. Katika sehemu ya pili, kisha sala ya mwisho, muhubiri huyo anafanya mipango ili kukutana tena na mutu huyo na kumusaidia apendezwe zaidi.
Dak. 20: “Maajabu ya Uumbaji Yanafunua Utukufu wa Mungu.” Maulizo na majibu. Fanya utangulizi mufupi kwa kutumia habari iliyo katika fungu la kwanza, na umalizio mufupi kwa kutumia habari iliyo katika fungu la mwisho. Omba wasikilizaji waeleze faida ambazo wamepata kwa kutazama video hiyo. Zungumuzia namna tunavyoweza kuitumia katika mahubiri.
Wimbo 110 na Sala