Programu ya Juma Tokea Tarehe 16 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 16 MWEZI WA 4
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 19 fu. 6-11 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 25-28 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 27:1-11 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Kutokana na Masimulizi ya Biblia Kumuhusu Maria?—rs uku. 181 fu. 3-8 (Dak. 5)
Na. 3: Maandiko Yanasema Nini Kuhusu Kuwaheshimu Watu Waliozeeka? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 90
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sitawisha Ufundi wa Kufundisha—Sehemu ya 3. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 59-61.
Dak. 20: “Mashahidi wa Yehova—Watu Wanaotenda kwa Imani, Sehemu ya 1: Kutoka Katika Giza.” Maulizo na majibu. Tumia kwa kifupi fungu la kwanza ili kufanya utangulizi na fungu la mwisho ili kumalizia.
Wimbo 116 na Sala