Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 4/12 uku. 8
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 5
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 5
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 4/12 uku. 8

Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 5

JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 5

Wimbo 120 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 20 fu. 8-15, kisanduku kwenye uku. 161 (Dak. 25)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yeremia 35-38 (Dak. 10)

Na. 1: Yeremia 36:14-26 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Je, Maria Alibaki Bikira Sikuzote?—rs uku. 182 fu. 3–uku. 183 fu. 1 (Dak. 5)

Na. 3: Je, Matendo ya Wanadamu Yanaweza Kweli Kumukasirisha Mungu?—Amu. 2:11-18 (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 91

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 20: Je, Umeyatumia? Mazungumuzo. Kupitia hotuba, zungumuzia mambo yaliyo katika habari hizi zilizotolewa hivi karibuni katika Huduma Yetu ya Ufalme: “Usisite” (km 10/11), “Tutumie Nguvu Zetu kwa Hekima Tunapohubiri,” na “Tuhubirie ‘Watu wa Namna Zote’” (km 1/12). Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu namna ambavyo wametumia mapendekezo yaliyo katika habari hizo na matokeo ambayo wamepata.

Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.

Wimbo 14 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine