Programu ya Juma Tokea Tarehe 7 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 7 MWEZI WA 5
Wimbo 120 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 20 fu. 8-15, kisanduku kwenye uku. 161 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 35-38 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 36:14-26 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Maria Alibaki Bikira Sikuzote?—rs uku. 182 fu. 3–uku. 183 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Matendo ya Wanadamu Yanaweza Kweli Kumukasirisha Mungu?—Amu. 2:11-18 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 91
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: Je, Umeyatumia? Mazungumuzo. Kupitia hotuba, zungumuzia mambo yaliyo katika habari hizi zilizotolewa hivi karibuni katika Huduma Yetu ya Ufalme: “Usisite” (km 10/11), “Tutumie Nguvu Zetu kwa Hekima Tunapohubiri,” na “Tuhubirie ‘Watu wa Namna Zote’” (km 1/12). Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu namna ambavyo wametumia mapendekezo yaliyo katika habari hizo na matokeo ambayo wamepata.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 14 na Sala