Programu ya Juma Tokea Tarehe 4 Mwezi wa 6
JUMA TOKEA TAREHE 4 MWEZI WA 6
Wimbo 103 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 21 fu. 14-22 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 51-52 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 52:17-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Inafaa Kumupelekea Maria Sala Kama Mwombezi?—rs uku. 185 fu. 2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Wanadamu Wanaweza Kuingia Katika “Mahali pa Siri” pa Yehova?—Zab. 91:1, 2, 9 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 57
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kugusa Moyo—Sehemu ya 2. Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 261, fungu la 1, mupaka mwisho wa ukurasa wa 262.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 6. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani katika magazeti ya mwezi wa 5 zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Munara wa Mulinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa. Ikiwa hamujapata magazeti hayo, mutumie yale muliyopata hivi karibuni.
Wimbo 61 na Sala