Programu ya Juma Tokea Tarehe 20 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 20 MWEZI WA 8
Wimbo 83 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 25 fu. 8-13, kisanduku kwenye uku. 201 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 32-34 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 34:15-28 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Maandiko Gani Yanayoonyesha Maoni Ambayo Wakristo Wanapaswa Kuwa Nayo Kuhusu Sikukuu za Taifa?—rs uku. 138 fu. 2–uku. 139 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu Gani Zaidi ya Maneno Sala Inapaswa Kutoka Moyoni—Zab. 145:18; Mt. 22:37 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 76
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mutu Akisema: ‘Ninaamini Mageuzi.’ Mazungumuzo yatakayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 166, fungu la 2, mupaka mwisho wa ukurasa wa 168. Mufanye onyesho fupi linaloonyesha namna ya kumujibia mutu anayesema, ‘Naamini kwamba Mungu alimuumba mwanadamu kupitia mageuzi.’
Dak. 10: Tutiane Moyo. (Ebr. 10:25) Mazungumuzo yatakayotegemea Kitabu cha Mwaka 2012, ukurasa wa 108, fungu la 3; ukurasa wa 109, fungu la 2; na ukurasa wa 181, fungu la 1. Omba wasikilizaji waeleze mambo ambayo wanajifunza.
Dak. 10: “Linda Akili Yako.” Maulizo na majibu. Utangazie kutaniko tarehe ya mukusanyiko wa muzunguko ikiwa inajulikana.
Wimbo 70 na Sala