Programu ya Juma Tokea Tarehe 27 Mwezi wa 8
JUMA TOKEA TAREHE 27 MWEZI WA 8
Wimbo 100 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 25 fu. 14-21 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 35-38 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 69
Dak. 10: Matangazo. “Mabadiliko Kuhusu Mikutano Fulani.” Hotuba. Kisha hotuba, tumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa wa 4 ili kuonyesha jinsi tunavyoweza kutumia magazeti ili kuanzisha funzo la Biblia Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 9.
Dak. 15: Tuhubiri kwa Njia Yenye Kueleweka. Mazungumuzo yanayotoka katika kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 226-229. Mufanye onyesho kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayotoka katika habari hii.
Dak. 10: Maandiko Haya Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Luka 10:1-4, 17. Muzungumuzie namna habari hii inavyoweza kutusaidia katika mahubiri.
Wimbo 57 na Sala