Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 9
Wimbo 49 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 fu. 16-22, kisanduku kwenye uku. 209 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 46-48 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 48:1-14 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu Gani Tunapaswa Kuwa Waaminifu Katika Mambo Yote—Efe. 4:25, 28; 5:1 (Dak. 5)
Na. 3: Jinsi ya Kumujibu Mutu Anayesema, ‘Ninyi Muna Biblia Yenu Wenyewe’—rs uku. 296 fu. 3–uku. 297 fu. 2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 64
Dak. 30: “Les jeunes s’interrogent... Que vais-je faire de ma vie ? (Sehemu ya 1)” Maulizo na majibu. Kuhusu utangulizi, tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na kuhusu umalizio, tumia ile iliyo katika fungu la mwisho. Ikiwa ndugu hawana video hiyo mupange mazungumuzo yanayotegemea vitabu Vijana Huuliza, buku la 1 na la 2. Kupatana na mahitaji ya kutaniko lenu, wazee wawili watazungumuzia habari zilizochaguliwa katika sura mbili za vitabu hivyo. Kila muzee atachukua dakika 15. Muwaombe vijana watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza.
Wimbo 88 na Sala