Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/12 uku. 4
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 10
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 1 MWEZI WA 10
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 9/12 uku. 4

Programu ya Juma Tokea Tarehe 1 Mwezi wa 10

JUMA TOKEA TAREHE 1 MWEZI WA 10

Wimbo 103 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 27 fu. 10-18 (Dak. 30)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Danieli 4-6 (Dak. 10)

Na. 1: Danieli 4:18-28 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Sababu Gani Wakristo wa Kweli Wanaepuka Kabisa Mambo ya Uchawi (Dak. 5)

Na. 3: Namna Gani Mungu Aliwatolea Maagizo Watumishi Wake Duniani Hapo Zamani? —rs uku. 298 fu. 3-4 (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 80

Dak. 5: Anzisha Funzo la Biblia Siku ya Posho ya Kwanza ya Mwezi. Kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zilizo kwenye ukurasa huu, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 10. Tia wote moyo kuanzisha funzo siku hiyo.

Dak. 15: Tulitumika Namna Gani Mwaka-Jana? Hotuba: itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi. Zungumuzia kazi ambayo kutaniko lilifanya katika mwaka wa utumishi uliopita. Kazia mambo mazuri yaliyotimizwa katika kazi ya kuhubiri, na uwapongeze wahubiri kwa kazi waliyofanya. Uliza maulizo muhubiri mumoja ao wahubiri wawili waliokutana na mambo yenye kufurahisha katika mahubiri. Zungumuzia jambo moja ao mambo mawili ambayo kutaniko linaweza kujikaza kutengeneza mwaka ujao kuhusiana na kazi ya kuhubiri, na utoe mapendekezo yenye kufaa ili kutengeneza uzaifu huo.

Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 10. Mazungumuzo. Kwa seconde 30 ao 60 eleza sababu gani magazeti hayo yatawapendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Munara wa Mulinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.

Wimbo 85 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine